Wano Tanzania@Minaj
๐จ Kocha wa Real Madrid ๐ช๐ธ Arbeloa kuhusu bata la Mbappe na mpenzi wake: "Wachezaji wote wenye majeraha wanafuatiliwa na kitengo chetu cha madaktari na ndio wanaopanga kila kitu. Kwenye muda wake wa Mapumziko, mchezaji yeyote anaweza kufanya anachotaka" #spotiripota
122 views5 likes0 comments